Swali: Ni ipi hukumu ya kuanzisha kundi la Kiislamu na ikawa kila kundi lina kiongozi katika kila nchi?
Jibu: Haijuzu. Huku ni kuleta mfarakano, jambo ambalo tumekatazwa:
وَاعْتَصِمُوا بِحَبْلِ اللَّـهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُوا
“Na shikamaneni kwa kamba ya Allaah nyote pamoja wala msifarikiane.” (03:103)
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 07/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuanzisha kundi la Kiislamu na ikawa kila kundi lina kiongozi katika kila nchi?
Jibu: Haijuzu. Huku ni kuleta mfarakano, jambo ambalo tumekatazwa:
وَاعْتَصِمُوا بِحَبْلِ اللَّـهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُوا
“Na shikamaneni kwa kamba ya Allaah nyote pamoja wala msifarikiane.” (03:103)
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 07/07/2018
https://firqatunnajia.com/haifai-kuanzisha-kikundi-katika-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)