Swali: Nikikutana na mwanafunzi anayejinasibisha na ISIS au al-Qaa´idah na nikamnasihi lakini isifue dafu, niwaeleze mahakama juu yake au nasaha inatosha?
Jibu: Ikiwa anaeneza fikira hizi basi waeleze juu yake. Ama ikiwa shari yake iko juu ya nafsi yake mwenyewe, umeshamnasihi na umetekeleza wajibu wako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 08/07/2018
Swali: Nikikutana na mwanafunzi anayejinasibisha na ISIS au al-Qaa´idah na nikamnasihi lakini isifue dafu, niwaeleze mahakama juu yake au nasaha inatosha?
Jibu: Ikiwa anaeneza fikira hizi basi waeleze juu yake. Ama ikiwa shari yake iko juu ya nafsi yake mwenyewe, umeshamnasihi na umetekeleza wajibu wako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 08/07/2018
https://firqatunnajia.com/waeleze-mahakama-kuhusu-isis-na-al-qaaidah/