Swali: Waabudu makaburi tuwakataze moja kwa moja au tutumie ile kanuni inayosema “Kuyazuia madhara ni jambo linatangulizwa mbele ya kuleta manufaa”?
Jibu: Wale wanaojifunza ni wasomi wanatakiwa kunasihiwa. Wakitubu na wakaongozwa na Allaah shukurani zote anastahiki Allaah. Wakikataa ni makafiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 125
- Imechapishwa: 26/08/2019
Swali: Waabudu makaburi tuwakataze moja kwa moja au tutumie ile kanuni inayosema “Kuyazuia madhara ni jambo linatangulizwa mbele ya kuleta manufaa”?
Jibu: Wale wanaojifunza ni wasomi wanatakiwa kunasihiwa. Wakitubu na wakaongozwa na Allaah shukurani zote anastahiki Allaah. Wakikataa ni makafiri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 125
Imechapishwa: 26/08/2019
https://firqatunnajia.com/waabudu-makaburi-wakufurishwe-baada-ya-kunasihiwa/