Swali: Waabudu makaburi tuwakataze moja kwa moja au tutumie ile kanuni inayosema “Kuyazuia madhara ni jambo linatangulizwa mbele ya kuleta manufaa”?
Jibu: Wale wanaojifunza ni wasomi wanatakiwa kunasihiwa. Wakitubu na wakaongozwa na Allaah shukurani zote anastahiki Allaah. Wakikataa ni makafiri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 125
- Imechapishwa: 26/08/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)