Swali: Kuna wanaosema kuwa kujitenga na vyombo vya mawasiliano vyote ni kupetuka mipaka. Mtu aseme juu ya hilo?
Jibu: Kupetuka mipaka kumefungamana na dini, na sio katika vitu vyenye kutengenezwa na uvumbuzi. Kupetuka mipaka kumefungamana na dini. Vitu hivi sio katika dini. Mwenye kujiepusha navyo haizingatiwa kuwa ameacha kitu katika dini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)