Swali: Je, imepokelewa kutoka kwa Imaam Ahmad ya kwamba mtu akiwa na wasiwasi juu ya kuvuja kitu basi aoshe na maji kwenye chupi yake baada ya kukidhi haja?
Jibu: Sijui kama Imaam Ahmad amesema hivo, lakini wanasema hivo. Lakini baadhi ya wanachuoni waliokutana wamesema hivo. Wanasema ikiwa mtu yuko na wasiwasi kuwa ametokwa na kitu aoshe chupi yake na maji ili wasiwasi umuondokee.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Je, imepokelewa kutoka kwa Imaam Ahmad ya kwamba mtu akiwa na wasiwasi juu ya kuvuja kitu basi aoshe na maji kwenye chupi yake baada ya kukidhi haja?
Jibu: Sijui kama Imaam Ahmad amesema hivo, lakini wanasema hivo. Lakini baadhi ya wanachuoni waliokutana wamesema hivo. Wanasema ikiwa mtu yuko na wasiwasi kuwa ametokwa na kitu aoshe chupi yake na maji ili wasiwasi umuondokee.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/dawa-ya-wasiwasi-baada-ya-kukidhi-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket