Swali: Katika mji wangu wanasherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na wakati huo huo wanagawanya vitu tamtam kama zawadi kwa watoto. Je, inafaa kwao kuvila?
Jibu: Hapana. Ni Bid´ah. Hakukuliwi kile kilichotengenezwa kwa ajili yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 23/07/2017
Swali: Katika mji wangu wanasherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na wakati huo huo wanagawanya vitu tamtam kama zawadi kwa watoto. Je, inafaa kwao kuvila?
Jibu: Hapana. Ni Bid´ah. Hakukuliwi kile kilichotengenezwa kwa ajili yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 23/07/2017
https://firqatunnajia.com/vitu-tamtam-vilivyozuliwa/