Swali: Je, inajuzu kuchukua vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal na kuvichana kwenye maktbah ya msikitini pamoja na kujua kuwa ni maktbah ya jumla kwa watu wote wanaokuja kuswali?
Jibu: Hapana. Wewe humiliki hilo. Lakini hata hivyo ukiona vitabu vya Bid´ah na upotevu unachotakiwa ni kuzungumza na imamu wa msikitini ambaye ndiye msimamizi wa maktbah. Mzungumzishe yule mwenye usimamizi wa maktabah hiyo ili aondoshe vitabu hivo. Ama wewe humiliki hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf-14-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)