Ni wajibu kwa wanafunzi kuwabainishia watu kuwa vita kwa ajili ya [kupigania] nchi sio vita ambavyo ni sahihi. Mtu apigane kwa lengo ili neno la Allaah liweze kuwa juu na wakati huohuo apigane kwa ajili ya nchi kwa sababu ni nchi ya Kiislamu. Anaihami na maadui wake na maadui wa Uislamu. Ikiwa ni kwa nia hii ni sahihi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/35)
- Imechapishwa: 17/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)