Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kutumia vipodozi vipya na vya kitamaduni na kujipodoa kwenye nywele na mwili wake na kujipamba mbele ya mumewe na wanawake wengine mbele ya masherehe?
Jibu: Nywele hazitakiwi kupakwa rangi nyeusi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Katika zama za mwisho watakuwepo watu wanaozipaka nywele rangi nyeusi kama kifua cha njiwa; hawatonusa harufu ya Peponi.”[1]
Ikiwa ni vipodozi vyengine visivyokuwa hivo, basi hapana vibaya akajipamba mbele ya mumewe au mbele ya wanawake wengine.
[1] al-Albaaniy amesema:
“Ameipokea Abu Daawuud, an-Nasaa’iy, Ahmad, adh-Dhwiyaa’ al-Maqdisiy katika ”al-Mukhtaarah” na wengine wengi ambao hakuna nafasi ya kuwataja. Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh na kwa ni kwa mujibu wa sharti za al-Bukhaariy na Muslim.” (Ghaayat-ul-Maraam, uk. 70-71)
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 594
- Imechapishwa: 05/06/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kutumia vipodozi vipya na vya kitamaduni na kujipodoa kwenye nywele na mwili wake na kujipamba mbele ya mumewe na wanawake wengine mbele ya masherehe?
Jibu: Nywele hazitakiwi kupakwa rangi nyeusi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Katika zama za mwisho watakuwepo watu wanaozipaka nywele rangi nyeusi kama kifua cha njiwa; hawatonusa harufu ya Peponi.”[1]
Ikiwa ni vipodozi vyengine visivyokuwa hivo, basi hapana vibaya akajipamba mbele ya mumewe au mbele ya wanawake wengine.
[1] al-Albaaniy amesema:
“Ameipokea Abu Daawuud, an-Nasaa’iy, Ahmad, adh-Dhwiyaa’ al-Maqdisiy katika ”al-Mukhtaarah” na wengine wengi ambao hakuna nafasi ya kuwataja. Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh na kwa ni kwa mujibu wa sharti za al-Bukhaariy na Muslim.” (Ghaayat-ul-Maraam, uk. 70-71)
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 594
Imechapishwa: 05/06/2025
https://firqatunnajia.com/vipodozi-vya-kisasa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket