Inahusu anayetaka kuoa mke wa pili, wa tatu na wa nne

Swali 247: Hadiyth ya Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:

“Watatu aina tatu wanastahiki usaidizi wa Allaah (´Azza wa Jall)… ”

ambapo mmoja wao akamtaja:

”… na mwanamume anayeoa ili kuhifadhi tupu yake…”

Je, hii linahusu kuoa mke wa pili?

Jibu: Hii ni yenye kuenea, mke wa pili, wa tatu na wa nne.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 188
  • Imechapishwa: 06/06/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´