Swali: Je, kuwalazimisha watu kutoka kulingania kwa kipindi cha siku nne, mwezi mzima na miezi minne ni katika kujikakama kunakosimangwa au ni kufanya bidii katika mambo ya kheri?
Jibu: Ni katika Bid´ah. Mambo haya hayaitwi kuwa ni kujikakama kunakosimangwa peke yake, isipokuwa Bid´ah pia. Hizi ni miongoni mwa Bid´ah za Suufiyyah. Da´wah haina kikomo cha siku maalum, miezi minne na kadhalika. Yote haya ni katika Bid´ah ambazo Allaah hakuziteremshia dalili yoyote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-7.mp3 Tarehe: 1427-10-07/2006-10-30
- Imechapishwa: 26/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)