Swali: Je, kuwalazimisha watu kutoka kulingania kwa kipindi cha siku nne, mwezi mzima na miezi minne ni katika kujikakama kunakosimangwa au ni kufanya bidii katika mambo ya kheri?
Jibu: Ni katika Bid´ah. Mambo haya hayaitwi kuwa ni kujikakama kunakosimangwa peke yake, isipokuwa Bid´ah pia. Hizi ni miongoni mwa Bid´ah za Suufiyyah. Da´wah haina kikomo cha siku maalum, miezi minne na kadhalika. Yote haya ni katika Bid´ah ambazo Allaah hakuziteremshia dalili yoyote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-7.mp3 Tarehe: 1427-10-07/2006-10-30
- Imechapishwa: 26/05/2022
Swali: Je, kuwalazimisha watu kutoka kulingania kwa kipindi cha siku nne, mwezi mzima na miezi minne ni katika kujikakama kunakosimangwa au ni kufanya bidii katika mambo ya kheri?
Jibu: Ni katika Bid´ah. Mambo haya hayaitwi kuwa ni kujikakama kunakosimangwa peke yake, isipokuwa Bid´ah pia. Hizi ni miongoni mwa Bid´ah za Suufiyyah. Da´wah haina kikomo cha siku maalum, miezi minne na kadhalika. Yote haya ni katika Bid´ah ambazo Allaah hakuziteremshia dalili yoyote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-7.mp3 Tarehe: 1427-10-07/2006-10-30
Imechapishwa: 26/05/2022
https://firqatunnajia.com/vipindi-vya-dawah-vilivyoanzishwa-na-jamaat-ut-tabliygh-ni-bidah/