Swali: Vipi wanaraddiwa Murji-ah?
Jibu: Matendo ni sehemu katika imani. Inazidi na kushuka. Madhambi yanaishusha, mauaji yanaishusha, mambo ya pumbao, matusi na magomvi yanaishusha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/كيف-يكون-الرد-على-المرجىة-في-الايمان
- Imechapishwa: 27/01/2024
Swali: Vipi wanaraddiwa Murji-ah?
Jibu: Matendo ni sehemu katika imani. Inazidi na kushuka. Madhambi yanaishusha, mauaji yanaishusha, mambo ya pumbao, matusi na magomvi yanaishusha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/كيف-يكون-الرد-على-المرجىة-في-الايمان
Imechapishwa: 27/01/2024
https://firqatunnajia.com/vipi-wanaraddiwa-murji-ah/