Swali: Vipi msafari anaswali akibaki ndani ya mji chini ya siku nne? Aswali msikitini, ajumuishe swalah au afupishe?
Jibu: Ikiwa anasikia adhaana na yuko karibu na msikiti aswali pamoja na waislamu. Asiswali sehemu nyingine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayesikia adhaana na asiitikie basi hana swalah ikiwa hana udhuru wowote.” Kukaulizwa: “Ni udhuru upi?” Akasema: “Khofu au maradhi.”
Ambaye anasikia adhaana na yuko karibu na msikiti anatakiwa kuswali msikitini. Haijalishi kitu hata kama atakuwa ni msafiri. Anatakiwa kuswali kikamilifu na wao. Vilevile asijumuishe kwa sababu ni kama mkazi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-07-24_0.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Swali: Vipi msafari anaswali akibaki ndani ya mji chini ya siku nne? Aswali msikitini, ajumuishe swalah au afupishe?
Jibu: Ikiwa anasikia adhaana na yuko karibu na msikiti aswali pamoja na waislamu. Asiswali sehemu nyingine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayesikia adhaana na asiitikie basi hana swalah ikiwa hana udhuru wowote.” Kukaulizwa: “Ni udhuru upi?” Akasema: “Khofu au maradhi.”
Ambaye anasikia adhaana na yuko karibu na msikiti anatakiwa kuswali msikitini. Haijalishi kitu hata kama atakuwa ni msafiri. Anatakiwa kuswali kikamilifu na wao. Vilevile asijumuishe kwa sababu ni kama mkazi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-07-24_0.mp3
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/vipi-anaswali-msafiri-ndani-ya-mji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)