Swali: Ni lipi bora kwa mtu kukaa katika vikao vya wanachuoni au kusoma Qur-aan tukufu?
Jibu: Akusanye kati ya yote mawili. Ahudhurie darsa na vikao vya elimu na asome Qur-aan katika wakati mwingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 17/08/2018
Swali: Ni lipi bora kwa mtu kukaa katika vikao vya wanachuoni au kusoma Qur-aan tukufu?
Jibu: Akusanye kati ya yote mawili. Ahudhurie darsa na vikao vya elimu na asome Qur-aan katika wakati mwingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
Imechapishwa: 17/08/2018
https://firqatunnajia.com/vikao-vya-kielimu-au-kusoma-qur-aan/