Swali: Kwa nini leo kunazungumzwa sana juu ya kwamba Shaykh Rabiy´ ni Murjiy´ na haya na yale?
Jibu: Ni nani?
Swali: Shaykh wetu na ´Allaamah Rabiy´. Kwa nini leo anazungumziwa sana?
Jibu: Sikiliza! Sikiliza! Shaykh Rabiy´ ni neema ya mtu. Kuna kheri kwake. Kwa masikitiko makubwa vijana hawa wana ujasiri wa kujeruhi pasina elimu. Unasikia?
Muulizaji: Ndio.
al-Luhaydaan: Ni sababu inayoondosha baraka ya elimu.
Swali: Unamaanisha kuwa maneno ya watu hawa yasikubaliwe pasina kujali wanachosema?
Jibu: Kamwe. Yasikubaliwe. Yasikubaliwe.
Swali: Wanasema kuwa anawasema vibaya wanachuoni na anaraddi kila wakati.
Jibu: Hapana, hawasemi vibaya wanachuoni. Anawaraddi watu wenye kufanya madhambi hadharani na wanastahiki Radd.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=146268
- Imechapishwa: 11/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)