Kwa hivyo inatakiwa kwa mtu awachagulie watoto wake majina mazuri ili aweze kupata ujira huo na awe amewatendea wema wavulana na wasichana wake. Ama kuleta majina mageni katika jamii, hili linaweza kuwaletea unyanyasikaji huko mbele na kila udhi analopata mtoto kwa sababu ya jina hili unakuwa ni mwenye kupata madhambi. Kwa sababu wewe mzazi ndiye uliyesababisha unyanyasaji wa jina hili la kigeni ambalo linalolengwa na kuwashangaza watu. Kwa ajili hii inatakiwa kwa mtu kuchagua majina mazuri.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/265)
- Imechapishwa: 12/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)