Swali: Vipi hukumu ya kuitikia salamu?
Jibu: Ni wajibu. Hilo ni tofauti na kuanza; ni wajibu au sio wajibu? Kuhusu kuitikia ni wajibu, kwa sababu Allaah (Ta´ala) amesema:
وَإِذَا حُيِّيتُم بِتَحِيَّةٍ فَحَيُّوا بِأَحْسَنَ مِنْهَا أَوْ رُدُّوهَا
“Mtapoamkiwa kwa maamkizi yoyote, basi itikieni kwa yaliyo mazuri zaidi kuliko hayo au yarudisheni hayo hayo.” (04:86)
Bora ni kuitikia kwa kilicho bora zaidi. Hata hivyo ni wajibu kuitikia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23940/ما-حكم-رد-السلام
- Imechapishwa: 02/08/2024
Swali: Vipi hukumu ya kuitikia salamu?
Jibu: Ni wajibu. Hilo ni tofauti na kuanza; ni wajibu au sio wajibu? Kuhusu kuitikia ni wajibu, kwa sababu Allaah (Ta´ala) amesema:
وَإِذَا حُيِّيتُم بِتَحِيَّةٍ فَحَيُّوا بِأَحْسَنَ مِنْهَا أَوْ رُدُّوهَا
“Mtapoamkiwa kwa maamkizi yoyote, basi itikieni kwa yaliyo mazuri zaidi kuliko hayo au yarudisheni hayo hayo.” (04:86)
Bora ni kuitikia kwa kilicho bora zaidi. Hata hivyo ni wajibu kuitikia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23940/ما-حكم-رد-السلام
Imechapishwa: 02/08/2024
https://firqatunnajia.com/uwajibu-wa-kuitikia-salamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)