Imaam Ibn Abiy Daawuud (Rahimahu Allaah) amesema:
إِذَا مَا اعْتقدْت الدهْرَ يا صَاحِ هذهِ
40 – Midhali utaendelea daima kuyaitakidi haya, ee rafiki yangu
فأَنْت عَلَى خَيْرٍ تبيتُ وتُصْبِحُ
basi wewe utakuwa katika kheri jioni na asubuhi
MAELEZO
Hii ni hitimisho. Ukiendelea kuyaamini yale yote yaliyomo kwenye shairi hili katika uhai wako wote na mwisho wa uhai wako, basi wewe uko katika kheri duniani na Aakhirah. Ama ukiyaamini kwa kipindi fulani halafu ukayaacha na kuyapuuza, hayatokufaa kitu. Ni lazima uendelee kuamini ´Aqiydah hii katika maisha yako yote mpaka pale utapokufa. Kuhusu yule ambaye atayaamini mara ya kwanza kisha akajireje kwayo, huyu ataangamia pamoja na wenye kuangamia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 202
- Imechapishwa: 13/01/2024
Imaam Ibn Abiy Daawuud (Rahimahu Allaah) amesema:
إِذَا مَا اعْتقدْت الدهْرَ يا صَاحِ هذهِ
40 – Midhali utaendelea daima kuyaitakidi haya, ee rafiki yangu
فأَنْت عَلَى خَيْرٍ تبيتُ وتُصْبِحُ
basi wewe utakuwa katika kheri jioni na asubuhi
MAELEZO
Hii ni hitimisho. Ukiendelea kuyaamini yale yote yaliyomo kwenye shairi hili katika uhai wako wote na mwisho wa uhai wako, basi wewe uko katika kheri duniani na Aakhirah. Ama ukiyaamini kwa kipindi fulani halafu ukayaacha na kuyapuuza, hayatokufaa kitu. Ni lazima uendelee kuamini ´Aqiydah hii katika maisha yako yote mpaka pale utapokufa. Kuhusu yule ambaye atayaamini mara ya kwanza kisha akajireje kwayo, huyu ataangamia pamoja na wenye kuangamia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 202
Imechapishwa: 13/01/2024
https://firqatunnajia.com/uwajibu-wa-kuamini-aqiydah-hii-katika-maisha-yako-yote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)