Swali: Je, uwajibu wa hajj unakuwa pale tu mtu anapokuwa na uwezo?
Jibu: Haya ndio maoni ya sawa na ndio maoni yenye nguvu. Wanazuoni wamekinzana. Lakini maoni yenye nguvu ni kwamba inawajibika pale tu mtu anapokuwa na uwezo kunapotimia masharti na akapata mali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22071/هل-فرض-الحج-على-الفور-ام-التراخي
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Je, uwajibu wa hajj unakuwa pale tu mtu anapokuwa na uwezo?
Jibu: Haya ndio maoni ya sawa na ndio maoni yenye nguvu. Wanazuoni wamekinzana. Lakini maoni yenye nguvu ni kwamba inawajibika pale tu mtu anapokuwa na uwezo kunapotimia masharti na akapata mali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22071/هل-فرض-الحج-على-الفور-ام-التراخي
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/uwajibu-wa-hajj-pale-tu-mtu-anakuwa-na-uwezo/