Swali: Je, inafaa kwa mume kumkata mke zaidi ya siku tatu katika jambo miongoni mwa mambo ya kidunia?
Jibu: Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ
“Na wale ambao mnachelea uasi wao wa ndoa, basi wanasihini na wahameni katika malazi na wapigeni.”[1]
Hadiyth imefungamanisha kilichoachiwa. Ikiwa kumsusa ni kwa haki ni kwa muda wa siku tatu. Ikiwa ni kwa haki yake mtu au ni kwa maasi azidishe siku tatu.
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwakata wakeze mwezi.
Jibu: Huku ni kuwasusa kwake wote. Kwa sababu walimwomba jambo ambalo si halali kwao, ni maasi yao.
[1] 04:34
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23444/حكم-هجر-الزوج-لزوجته-اكثر-من-ثلاثة-ايام
- Imechapishwa: 24/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)