Swali: Kuna bwana mmoja Kuwait kwa jina Muhammad al-Hamuud an-Najdiy anasema kuwa haitakiwi kwa mwanafunzi kukosa katika kabati ya vitabu vyake kitabu “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” cha Sayyid Qutwub. Je, tuwaache vijana waende katika darsa zake?
Jibu: Naomba kinga kwa Allaah kutokamana na upofu! Namuomba Allaah msamaha na usalama! Vipi mwanafunzi asikose “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” iliyoandikwa na mtu ambaye anawakufurisha waislamu na kusema kuwa wameritadi? Namuomba Allaah ulinzi kutokamana na upotevu huu. Huyu ni mpofu. Mwanafunzi hatakiwi kwenda katika darsa kama hizi.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 274
- Imechapishwa: 19/06/2020
Swali: Kuna bwana mmoja Kuwait kwa jina Muhammad al-Hamuud an-Najdiy anasema kuwa haitakiwi kwa mwanafunzi kukosa katika kabati ya vitabu vyake kitabu “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” cha Sayyid Qutwub. Je, tuwaache vijana waende katika darsa zake?
Jibu: Naomba kinga kwa Allaah kutokamana na upofu! Namuomba Allaah msamaha na usalama! Vipi mwanafunzi asikose “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan” iliyoandikwa na mtu ambaye anawakufurisha waislamu na kusema kuwa wameritadi? Namuomba Allaah ulinzi kutokamana na upotevu huu. Huyu ni mpofu. Mwanafunzi hatakiwi kwenda katika darsa kama hizi.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 274
Imechapishwa: 19/06/2020
https://firqatunnajia.com/usikose-fiy-dhwilaal-il-qur-aan/