Swali: Vipi mnataka kutibu familia na jamii wakati kila sehemu imeharibika, ni mamoja iwe ni shule, mitaani au vyombo vya khabari? Tunatarajia jibu linalotosheleza kuhusu hili.
Jibu: Haipaswi kukata tamaa, ndugu yangu. Haipaswi kukata tamaa Pambana na pateni bishara njema na wala msikate tamaa. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
إِنَّ اللَّـهَ مَعَ الَّذِينَ اتَّقَوا وَّالَّذِينَ هُم مُّحْسِنُونَ
“Hakika Allaah Yu Pamoja na wenye kumcha na wale watendao wema.”[1]
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا
“Na yeyote yuleanayemcha Allaah, atamjaalia njia [ya kutoka katika matatizo].”[2]
Kwa hiyo jukumu lako ni kujitahidi, kutokukata tamaa, kuwa na subira na kupambana ili kufanikiwa – Allaah akitaka – hata ikiwa ni kwa sehemu kubwa au wengi.
[1] 16:128
[2] 65:02
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2420/عدم-الياس-في-محاربة-المنكرات
- Imechapishwa: 09/01/2026
Swali: Vipi mnataka kutibu familia na jamii wakati kila sehemu imeharibika, ni mamoja iwe ni shule, mitaani au vyombo vya khabari? Tunatarajia jibu linalotosheleza kuhusu hili.
Jibu: Haipaswi kukata tamaa, ndugu yangu. Haipaswi kukata tamaa Pambana na pateni bishara njema na wala msikate tamaa. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
إِنَّ اللَّـهَ مَعَ الَّذِينَ اتَّقَوا وَّالَّذِينَ هُم مُّحْسِنُونَ
“Hakika Allaah Yu Pamoja na wenye kumcha na wale watendao wema.”[1]
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا
“Na yeyote yuleanayemcha Allaah, atamjaalia njia [ya kutoka katika matatizo].”[2]
Kwa hiyo jukumu lako ni kujitahidi, kutokukata tamaa, kuwa na subira na kupambana ili kufanikiwa – Allaah akitaka – hata ikiwa ni kwa sehemu kubwa au wengi.
[1] 16:128
[2] 65:02
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2420/عدم-الياس-في-محاربة-المنكرات
Imechapishwa: 09/01/2026
https://firqatunnajia.com/usikate-tamaa-katika-kupambana-na-maovu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket