Swali: Katika nchi yetu sababu nyingi za talaka zinatokana na familia ya mume na mke kuingilia maisha yao ya kindoa. Unawanasihi kitu gani?
Jibu: Haijuzu kwa yeyote kumfitinisha mwanamke kwa mume wake:
”Si katika sisi yule mwenye kumfitinisha mwanamke au kijakazi kwa bwana wake.”[1]
Haijuzu kufanya hivo.
[1] Abu Daawuud (2175). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud (2175).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 26/05/2023