Swali: Nilitawadha kisha nikavaa soksi na viatu. Baada ya hapo nikataka kutawadha upya. Je, nipanguse viatu au nivivue pamoja na kuzingatia ya kwamba pindi ninapoingia msikitini basi huvua viatu hivi na naswali hali ya kuvivua?
Jibu: Hapana, usifute kile utachokivua. Pangusa juu ya kitu imara ambacho hutokivua, nacho ni soksi. Kwa sharti soksi hizo ziwe ni zenye kufunika kile kilicho ndani yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Swali: Nilitawadha kisha nikavaa soksi na viatu. Baada ya hapo nikataka kutawadha upya. Je, nipanguse viatu au nivivue pamoja na kuzingatia ya kwamba pindi ninapoingia msikitini basi huvua viatu hivi na naswali hali ya kuvivua?
Jibu: Hapana, usifute kile utachokivua. Pangusa juu ya kitu imara ambacho hutokivua, nacho ni soksi. Kwa sharti soksi hizo ziwe ni zenye kufunika kile kilicho ndani yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 12/01/2018
https://firqatunnajia.com/usifute-kile-utachovua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)