Swali: Je, inajuzu kumsengenya kafiri?

Jibu: Katika yale aliyoyaonyesha wazi, inaruhusiwa kumsema kwa yale aliyoyaonyesha wazi ya ukafiri wake. Inaweza kusemwa kwamba fulani alifanya hivi na hivi, ndiyo. Bali huenda ikawa ni wajibu inapohitajika kufanya hivyo ili atekelezewe hukumu ya kidini kama kutakiwa atubu au kuuawa.

Kadhalika fasiki katika yale aliyoyaonyesha wazi ya uovu wake, hana usengenyi katika yale anayoyaanika wazi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3354/حكم-غيبة-الكافر
  • Imechapishwa: 15/08/2026