Swali: Kunahesabika ni usengenyi kumtahadharisha mtu kwa lengo sahihi?
Jibu: Sio usengenyi, ni kumtakia mema. Ikiwa mtu huyu amekwishanasihiwa lakini hata hivyo akaendelea juu ya kwenda kwake kinyume, basi ni lazima watu watahadharishwe naye ili wasije kughurika naye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
- Imechapishwa: 27/05/2019
Swali: Kunahesabika ni usengenyi kumtahadharisha mtu kwa lengo sahihi?
Jibu: Sio usengenyi, ni kumtakia mema. Ikiwa mtu huyu amekwishanasihiwa lakini hata hivyo akaendelea juu ya kwenda kwake kinyume, basi ni lazima watu watahadharishwe naye ili wasije kughurika naye.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
Imechapishwa: 27/05/2019
https://firqatunnajia.com/usengenyi-au-kumtakia-mema/