738- Ahmad ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia, kutoka kwa ´Abdul-Malik na al-Hajjaaj, kutoka kwa ´Atwaa´ ambaye amesema:
“Yule ambaye atafunika kichwa chake kwa kusahau hakuna kinachomlazimu. Na yule mwenye kufanya hivo kwa kukusudia anatakiwa kutoa kafara.”
739- Ahmad ametuhadithia: Wakiy´ ametuhadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Jurayj, kutoka kwa ´Atwaa´ ambaye amesema:
“Kusahau na ujinga ni kitu kimoja. Hakuna kinachomlazimu mwenye kuvaa mavazi au kujitia manukato.”
Bi maana yule mwenye kufanya hivo kwa kusahau.
741- Ahmad ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia, kutoka kwa Mughiyrah, kutoka kwa Ibraahiym ambaye amesema:
“Muhrim akiamka na kichwa chake kimefunikwa, basi anatakiwa kukifunua. Hata hivyo hakuna kinachomlazimu kufanya. Anatakiwa kujishughulisha kufanya Talbiyah.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 156-157
- Imechapishwa: 26/03/2021
738- Ahmad ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia, kutoka kwa ´Abdul-Malik na al-Hajjaaj, kutoka kwa ´Atwaa´ ambaye amesema:
“Yule ambaye atafunika kichwa chake kwa kusahau hakuna kinachomlazimu. Na yule mwenye kufanya hivo kwa kukusudia anatakiwa kutoa kafara.”
739- Ahmad ametuhadithia: Wakiy´ ametuhadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Jurayj, kutoka kwa ´Atwaa´ ambaye amesema:
“Kusahau na ujinga ni kitu kimoja. Hakuna kinachomlazimu mwenye kuvaa mavazi au kujitia manukato.”
Bi maana yule mwenye kufanya hivo kwa kusahau.
741- Ahmad ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia, kutoka kwa Mughiyrah, kutoka kwa Ibraahiym ambaye amesema:
“Muhrim akiamka na kichwa chake kimefunikwa, basi anatakiwa kukifunua. Hata hivyo hakuna kinachomlazimu kufanya. Anatakiwa kujishughulisha kufanya Talbiyah.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 156-157
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/usahaulifu-na-ujinga-katika-ihraam/