Kuhusiana na kitabu cha al-Ghazaaliy “Fiqh-us-Siyrah”, nimeona ya kwamba kina upotevu wa wazi. Mfano wa hilo ni kuwa anadharau mtandio. Anasema katika dibaji ya kwamba ameona jinsi wanawake al-Madiynah wanavyotembea kama kwamba wamebeba mahema.
Hali kadhalika hajali miujiza ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anasema kuwa hakuna tofauti yoyote kati ya yule asiyeamini kuwa kitu kisichokuwa na uhai kiliongea na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na yule asiyeamini.
Tofauti iko wazi kabisa. Hata hivyo kunakhofiwa ukafiri juu ya mtu ambaye anakanusha miujiza sahihi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuna mpaka watu ambao waliomuamini Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sababu ya miujiza yake.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Makhraj min al-Fitnah, uk. 170
- Imechapishwa: 23/07/2020
Kuhusiana na kitabu cha al-Ghazaaliy “Fiqh-us-Siyrah”, nimeona ya kwamba kina upotevu wa wazi. Mfano wa hilo ni kuwa anadharau mtandio. Anasema katika dibaji ya kwamba ameona jinsi wanawake al-Madiynah wanavyotembea kama kwamba wamebeba mahema.
Hali kadhalika hajali miujiza ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anasema kuwa hakuna tofauti yoyote kati ya yule asiyeamini kuwa kitu kisichokuwa na uhai kiliongea na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na yule asiyeamini.
Tofauti iko wazi kabisa. Hata hivyo kunakhofiwa ukafiri juu ya mtu ambaye anakanusha miujiza sahihi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuna mpaka watu ambao waliomuamini Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sababu ya miujiza yake.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Makhraj min al-Fitnah, uk. 170
Imechapishwa: 23/07/2020
https://firqatunnajia.com/upotevu-wa-wazi-katika-fiqh-us-siyrah-cha-al-ghazaaliy/