Swali: Kuna uongofu upi kwa ambaye anataka kukata roho?
Jibu: Atamkishwe “Laa ilaaha illa Allaah”. Kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Walakinisheni maiti wenu “Laa ilaaha illa Allaah”.”
Mtu amtajie “Laa ilaaha illa Allaah” mbele yake. Pale atakapoisema tu basi inatosha na hivyo wanyamaze.
Swali: Aiseme kisha wanyamaze?
Jibu: Akiisema inatosha.
Swali: Afumbwe macho yake?
Jibu: Baada ya kutoka roho yake. Ikishatoka roho yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23248/ما-الهدي-المشروع-عند-المحتضر
- Imechapishwa: 06/12/2023
Swali: Kuna uongofu upi kwa ambaye anataka kukata roho?
Jibu: Atamkishwe “Laa ilaaha illa Allaah”. Kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Walakinisheni maiti wenu “Laa ilaaha illa Allaah”.”
Mtu amtajie “Laa ilaaha illa Allaah” mbele yake. Pale atakapoisema tu basi inatosha na hivyo wanyamaze.
Swali: Aiseme kisha wanyamaze?
Jibu: Akiisema inatosha.
Swali: Afumbwe macho yake?
Jibu: Baada ya kutoka roho yake. Ikishatoka roho yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23248/ما-الهدي-المشروع-عند-المحتضر
Imechapishwa: 06/12/2023
https://firqatunnajia.com/uongofu-wakati-maiti-anapotaka-kukata-roho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)