Swali: Kuna watu wenye kusema kuwa inajuzu kusema uongo juu ya manufaa ya Da´wah. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Da´wah inakataza uongo. Ni vipi utakuwa ni manufaa ya Da´wah?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Kuna watu wenye kusema kuwa inajuzu kusema uongo juu ya manufaa ya Da´wah. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Da´wah inakataza uongo. Ni vipi utakuwa ni manufaa ya Da´wah?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/uongo-kwa-ajili-ya-manufaa-ya-dawah/