Swali: Wako watu wenye kusema kwamba Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) kabla ya kufa kwake alikuwa akifutu kwamba Haatib bin Abiy Balt´ah alikufuru kwa kitendo chake na akiyaeneza hayo kati ya watu. Je, ni kweli kwamba Shaykh Ibn Baaz aliyasema hayo? Ni ipi hukumu ya kuyanakili na kuyaeneza?
Jibu: Allaah amemtakasa Shaykh Ibn Baaz kutokamana na maneno haya machafu. Huyu anamsemea uongo Shaykh Ibn Baaz. Sisi tulikuwa pamoja na Shaykh Ibn Baaz, tulifanya kazi pamoja naye na tukaketi naye mpaka katika pumzi zake za mwisho za kifo na hatukuwahi kusikia maneno haya. Shaykh Ibn Baaz hawezi kusema maneno kama haya. Kamwe! Lakini huyu ni mwongo na dajali. Mtu huyu hakuweza kumraddi baada ya Shaykh kufa, ndipo akaanza kumsemea uongo.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-28.mp3 Dakika: 1427-10-28/2006-11-20
- Imechapishwa: 19/02/2021
Swali: Wako watu wenye kusema kwamba Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) kabla ya kufa kwake alikuwa akifutu kwamba Haatib bin Abiy Balt´ah alikufuru kwa kitendo chake na akiyaeneza hayo kati ya watu. Je, ni kweli kwamba Shaykh Ibn Baaz aliyasema hayo? Ni ipi hukumu ya kuyanakili na kuyaeneza?
Jibu: Allaah amemtakasa Shaykh Ibn Baaz kutokamana na maneno haya machafu. Huyu anamsemea uongo Shaykh Ibn Baaz. Sisi tulikuwa pamoja na Shaykh Ibn Baaz, tulifanya kazi pamoja naye na tukaketi naye mpaka katika pumzi zake za mwisho za kifo na hatukuwahi kusikia maneno haya. Shaykh Ibn Baaz hawezi kusema maneno kama haya. Kamwe! Lakini huyu ni mwongo na dajali. Mtu huyu hakuweza kumraddi baada ya Shaykh kufa, ndipo akaanza kumsemea uongo.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-28.mp3 Dakika: 1427-10-28/2006-11-20
Imechapishwa: 19/02/2021
https://firqatunnajia.com/uongo-juu-ya-ibn-baaz-na-haatib-bin-abiy-baltah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)