569- Nlimsikia baba yangu Ahmad akiulizwa kuhusu bwana mmoja ambaye anaishi katika nyumba ambayo inatakiwa kutolewa zakaah. Akajibu: “Ndio.” Kukasemwa: “Ni nyumba kubwa.” Akajibu: “Nataraji hakuna neno.” Kukasemwa: “Anaye mfanya kazi pia.” Akajibu: “Nataraji hakuna neno.” Kukasemwa: “Anaye farasi pia.” Akajibu: “Nataraji hakuna neno kama anamtumia farasi kwa ajili ya kupambana katika njia ya Allaah.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 118
- Imechapishwa: 19/02/2021
569- Nlimsikia baba yangu Ahmad akiulizwa kuhusu bwana mmoja ambaye anaishi katika nyumba ambayo inatakiwa kutolewa zakaah. Akajibu: “Ndio.” Kukasemwa: “Ni nyumba kubwa.” Akajibu: “Nataraji hakuna neno.” Kukasemwa: “Anaye mfanya kazi pia.” Akajibu: “Nataraji hakuna neno.” Kukasemwa: “Anaye farasi pia.” Akajibu: “Nataraji hakuna neno kama anamtumia farasi kwa ajili ya kupambana katika njia ya Allaah.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 118
Imechapishwa: 19/02/2021
https://firqatunnajia.com/nyumba-kubwa-na-mfanya-kazi/