Swali: Inajuzu kwa imamu kuwakatza waombaji msikitini?
Jibu: Akijua kuwa sio wahitaji awakataze. Ama ikiwa hajui kama ni wahitaji au sio wahitaji, asiwakataze. Lakini hata hivyo awakataze kunyanyua sauti na kuwasumbua wenye kuswali. Aimwambie akae chini na watu watampa swadaqah na kwamba hakuna haja ya kuongea na kuhubiri. Baadhi yao wanahubiri na kuwasumbua watu. Wakatazwe haya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket