Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwa kunyanyua mikono baada ya swalah ya sunnah?
Jibu: Kunyanyua mikono katika du´aa ni Sunnah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akinyanyua mikono yake, katika swalah za sunnah na nyenginezo. Hata hivyo asinyanyue mikono baada ya swalah za faradhi. Ama baada ya swalah za sunnah hakuna neno kama tulivosema.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwa kunyanyua mikono baada ya swalah ya sunnah?
Jibu: Kunyanyua mikono katika du´aa ni Sunnah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akinyanyua mikono yake, katika swalah za sunnah na nyenginezo. Hata hivyo asinyanyue mikono baada ya swalah za faradhi. Ama baada ya swalah za sunnah hakuna neno kama tulivosema.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-katika-duaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)