Swali 03: Unasihi wudhuu´ wa ambaye anaanza upande wa kushoto kabla ya wa kuume[1]?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana katika jambo hilo. Lililo salama zaidi ni yeye atoke kwenye tofauti na arudi kutawadha upya ikiwa alianza upande wa kushoto kabla ya upande wa kulia wakati wa kuosha kwa mfano mikono au miguu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkitawadha basi anzeni na kuume kwenu.”
Isitoshe (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akianza kwa upande wa kulia. Lengo ni ili wudhuu´ wake usalamike kutokakamana na tofauti.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/kuna-athar-sahihi-ya-aliy-kwamba-alianza-upande-wa-kushoto-wakati-wa-kutawadha/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 32
- Imechapishwa: 31/07/2018
Swali 03: Unasihi wudhuu´ wa ambaye anaanza upande wa kushoto kabla ya wa kuume[1]?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana katika jambo hilo. Lililo salama zaidi ni yeye atoke kwenye tofauti na arudi kutawadha upya ikiwa alianza upande wa kushoto kabla ya upande wa kulia wakati wa kuosha kwa mfano mikono au miguu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkitawadha basi anzeni na kuume kwenu.”
Isitoshe (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akianza kwa upande wa kulia. Lengo ni ili wudhuu´ wake usalamike kutokakamana na tofauti.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/kuna-athar-sahihi-ya-aliy-kwamba-alianza-upande-wa-kushoto-wakati-wa-kutawadha/
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 32
Imechapishwa: 31/07/2018
https://firqatunnajia.com/unasihi-wudhuu-wa-ambaye-anaanza-upande-wa-kushoto-kabla-ya-wa-kuume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)