801- Ahmad ametuhadithia: Humayd bin ´Abdir-Rahmaan ametuhadithia: Hammaam bin Yahyaa ametuhadithia:
“Qataadah aliulizwa kuhusu kufanya ´Umrah mara mbili kwa mwezi. Akasimulia kuwa Sa´iyd bin al-Musayyab, ´Atwaa´ na al-Hasan wamesema kuwa kitendo hicho hakina neno. Ibn ´Umar aliulizwa pia swali hilohilo na hakichukiza kitendo hicho.
802- Ahmad ametuhadithia: Yahyaa ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Jurayj, kutoka kwa az-Zubayr ambaye ameeleza kuwa amemsikia Jaabir aliulizwa juu ya ´Umrah baada ya masiku ya Tashriyq. Jawabu lake lilikuwa:
“Hakuna neno. Lakini hakutakiwi kuletwa mnyama wowote wa Udhhiyah.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 169-170
- Imechapishwa: 26/03/2021
801- Ahmad ametuhadithia: Humayd bin ´Abdir-Rahmaan ametuhadithia: Hammaam bin Yahyaa ametuhadithia:
“Qataadah aliulizwa kuhusu kufanya ´Umrah mara mbili kwa mwezi. Akasimulia kuwa Sa´iyd bin al-Musayyab, ´Atwaa´ na al-Hasan wamesema kuwa kitendo hicho hakina neno. Ibn ´Umar aliulizwa pia swali hilohilo na hakichukiza kitendo hicho.
802- Ahmad ametuhadithia: Yahyaa ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Jurayj, kutoka kwa az-Zubayr ambaye ameeleza kuwa amemsikia Jaabir aliulizwa juu ya ´Umrah baada ya masiku ya Tashriyq. Jawabu lake lilikuwa:
“Hakuna neno. Lakini hakutakiwi kuletwa mnyama wowote wa Udhhiyah.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 169-170
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/umrah-mara-mbili-kwa-mwezi/