Swali: Mwenye kumwita ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz khaliyfah mwongofu wa tano licha ya kwamba Mu´aawiyah…
Jibu: Baadhi yao husema hivo. Yeye – Allaah akitaka – ni khaliyfah mwongofu. Lakini makhaliyfah waongofu kikweli ni wanne. Lakini yeye pia ni khaliyfah mwongofu. Kila kiongozi mwema anaitwa khaliyfah mwongofu.
Swali: Wanazuoni wamekubaliana juu ya kwamba Mu´aawiyah ni mbora kuliko yeye?
Jibu: Mu´aawiyah yeye ni Swahabah. Mu´aawiyah ni mbora kuliko yeye. Yeye ni miongoni mwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21528حكم-وصف-خليفة-راشد-لعمر-بن-عبدالعزيز
- Imechapishwa: 23/08/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)