Swali: Kujifunza visomo saba ni faradhi kwa baadhi ya watu?
Jibu: Tukitaja maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Qur-aan imeteremshwa kwa herufi saba.”[1]
basi kutambua herufi saba ni miongoni mwa faradhi kwa baadhi ya watu.
Swali: Mpaka kwa wanawake pia?
Jibu:
”Hakika si venginevyo wanawake ni ndugu zake wanamme.”[2]
Swali: Kwa hiyo ni lazima kuwepo kikosi cha wanawake kinachojifunza visomo?
Jibu: Ndio.
[1] Ahmad (1495).
[2] Ahmad. Tazama ”as-Swahiyhah” (2863).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 58-59
- Imechapishwa: 01/07/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)