Swali: Wanachuoni wanasemaje juu ya mwanamke ambaye ameacha kufunga Ramadhaan kwa sababu ya ada ya mwezi. Je, ni haki kwake kuzirudi zile siku alizokula?
Jibu: Ndio. Ni lazima kwake kulipa zile siku alizokula.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (20) http://binothaimeen.net/content/6852
- Imechapishwa: 17/09/2021
Swali: Wanachuoni wanasemaje juu ya mwanamke ambaye ameacha kufunga Ramadhaan kwa sababu ya ada ya mwezi. Je, ni haki kwake kuzirudi zile siku alizokula?
Jibu: Ndio. Ni lazima kwake kulipa zile siku alizokula.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (20) http://binothaimeen.net/content/6852
Imechapishwa: 17/09/2021
https://firqatunnajia.com/ulazima-wa-kufunga-siku-aliyokula-mwanamke-kwa-sababu-ya-ada-ya-mwezi/