Swali: Mimi nina wafanyakazi wawili ambapo mmoja wao ni muislamu na mwengine ni kafiri. Wote wawili wako sawa katika kazi. Linalonipasa mimi ni kufanya uadilifu kati yao. Je, inajuzu kwangu kumfupizia kafiri haki yake kwa sababu ya dini yake?
Jibu: Kilicho cha wajibu ni wewe kufanya uadilifu kati yao. Lakini ni lazima kuwaweka mbali makafiri hata kama ni wachangamfu zaidi [kazini]. Kwa sababu muislamu ni mwenye baraka zaidi ijapokuwa ni mwenye ufanisi mdogo kuliko. Tusemeje wakiwa wako sawa. Imesihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba aliacha anausia kuwaondosha makafiri nje ya kisiwa hiki na kwamba kusibaki dini mbili[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/63-makatazo-ya-kuwaacha-makafiri-wakamakinika-na-kutanua-katika-kisiwa-cha-kiarabu/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/380) https://binbaz.org.sa/fatwas/924/%D9%88%D8%AC%D9%88%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%AF%D9%84-%D8%A8%D9%8A%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D9%85%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B3%D9%84%D9%85-%D9%88%D8%BA%D9%8A%D8%B1%D9%87
- Imechapishwa: 09/12/2019
Swali: Mimi nina wafanyakazi wawili ambapo mmoja wao ni muislamu na mwengine ni kafiri. Wote wawili wako sawa katika kazi. Linalonipasa mimi ni kufanya uadilifu kati yao. Je, inajuzu kwangu kumfupizia kafiri haki yake kwa sababu ya dini yake?
Jibu: Kilicho cha wajibu ni wewe kufanya uadilifu kati yao. Lakini ni lazima kuwaweka mbali makafiri hata kama ni wachangamfu zaidi [kazini]. Kwa sababu muislamu ni mwenye baraka zaidi ijapokuwa ni mwenye ufanisi mdogo kuliko. Tusemeje wakiwa wako sawa. Imesihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba aliacha anausia kuwaondosha makafiri nje ya kisiwa hiki na kwamba kusibaki dini mbili[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/63-makatazo-ya-kuwaacha-makafiri-wakamakinika-na-kutanua-katika-kisiwa-cha-kiarabu/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/380) https://binbaz.org.sa/fatwas/924/%D9%88%D8%AC%D9%88%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%AF%D9%84-%D8%A8%D9%8A%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D9%85%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B3%D9%84%D9%85-%D9%88%D8%BA%D9%8A%D8%B1%D9%87
Imechapishwa: 09/12/2019
https://firqatunnajia.com/ulazima-kwa-bosi-kufanya-uadilifu-kati-ya-mfanyakazi-kafiri-na-muislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)