Swali: Kuna baadhi ya vituo vya mafuta vinavyotoa huduma ya kuosha gari bila malipo kwa mtu yeyote anayenunua gesi kwa pesa 120. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni bora kuacha kufanya hivo, kwa sababu kufanya hivo ni kuwahamasisha watu wawakimbilie ili wengine waachwe. Bora na vyema zaidi ni kuacha kufanya hivo.
Swali: Je, wakewe ikiwa watafanya hivo?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Hivo ndio salama zaidi kwangu, kwa sababu anaweza kujitolea pesa kwa matumaini ya kufanikisha hili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23305/حكم-عرض-المحطات-غسيل-السيارة-مجانا
- Imechapishwa: 31/05/2025
Swali: Kuna baadhi ya vituo vya mafuta vinavyotoa huduma ya kuosha gari bila malipo kwa mtu yeyote anayenunua gesi kwa pesa 120. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni bora kuacha kufanya hivo, kwa sababu kufanya hivo ni kuwahamasisha watu wawakimbilie ili wengine waachwe. Bora na vyema zaidi ni kuacha kufanya hivo.
Swali: Je, wakewe ikiwa watafanya hivo?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Hivo ndio salama zaidi kwangu, kwa sababu anaweza kujitolea pesa kwa matumaini ya kufanikisha hili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23305/حكم-عرض-المحطات-غسيل-السيارة-مجانا
Imechapishwa: 31/05/2025
https://firqatunnajia.com/ukitia-mafuta-kiwango-fulani-tunakuoshea-gari-bure/