Swali: Kuna baadhi ya vituo vya mafuta vinavyotoa huduma ya kuosha gari bila malipo kwa mtu yeyote anayenunua gesi kwa pesa 120. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ni bora kuacha kufanya hivo, kwa sababu kufanya hivo ni kuwahamasisha watu wawakimbilie ili wengine waachwe. Bora na vyema zaidi ni kuacha kufanya hivo.
Swali: Je, wakewe ikiwa watafanya hivo?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Hivo ndio salama zaidi kwangu, kwa sababu anaweza kujitolea pesa kwa matumaini ya kufanikisha hili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23305/حكم-عرض-المحطات-غسيل-السيارة-مجانا
- Imechapishwa: 31/05/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket