Swali 339: Mtu ambaye ana deni la kulipa kwa awamu na anaweza kulilipa kupitia mshahara wake. Je, anaweza kuchukua kutoka katika zakaah na kumpa mwenye deni lake mara moja?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Muda wa kuwa anaweza kulipa basi yeye ni tajiri[1].
[1] Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn aliulizwa swali kama hilo ambapo akasema kuwa inafaa akachukua kutoka katika zakaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 119
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 339: Mtu ambaye ana deni la kulipa kwa awamu na anaweza kulilipa kupitia mshahara wake. Je, anaweza kuchukua kutoka katika zakaah na kumpa mwenye deni lake mara moja?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Muda wa kuwa anaweza kulipa basi yeye ni tajiri[1].
[1] Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn aliulizwa swali kama hilo ambapo akasema kuwa inafaa akachukua kutoka katika zakaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 119
Imechapishwa: 31/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kuchukua-kutoka-katika-pesa-ya-zakaah-na-kulipa-deni-unalodaiwa/