Swali: Je, ni wajibu kwa wanafunzi kurudi katika miji yao walipotoka ili wawalinganie watu katika dini ya Allaah (Ta´ala) na katika Tawhiyd yake?
Jibu: Hili halina shaka. Hili ni wajibu kwao. Ikiwa wanaweza ni wajibu kwao kufanya hivi.
وَلِيُنذِرُوا قَوْمَهُمْ إِذَا رَجَعُوا إِلَيْهِمْ لَعَلَّهُمْ يَحْذَرُونَ
“… na ili waonye watu wao watakaporejea kwao ili wapate kutahadhari.” (09:122)
Ikiwa wanaweza kufanya hivi, hili ndio la wajibu kwao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Je, ni wajibu kwa wanafunzi kurudi katika miji yao walipotoka ili wawalinganie watu katika dini ya Allaah (Ta´ala) na katika Tawhiyd yake?
Jibu: Hili halina shaka. Hili ni wajibu kwao. Ikiwa wanaweza ni wajibu kwao kufanya hivi.
وَلِيُنذِرُوا قَوْمَهُمْ إِذَا رَجَعُوا إِلَيْهِمْ لَعَلَّهُمْ يَحْذَرُونَ
“… na ili waonye watu wao watakaporejea kwao ili wapate kutahadhari.” (09:122)
Ikiwa wanaweza kufanya hivi, hili ndio la wajibu kwao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/ukimaliza-kusoma-rudi-katika-mji-wako-ukalinganie-watu-tawhiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)