Swali: Leasing ya ahadi ya ununuzi wakati muda wa kukodisha umemalizika pia imeharamishwa?
Jibu: Huku ni kutafuta tu upenyo. Pindi walipoambiwa kwamba leasing ni haramu wakaongezea sentesi “ahadi”. Yote hayajuzu. Yote hayo ni kutafuta tu upenyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Leasing ya ahadi ya ununuzi wakati muda wa kukodisha umemalizika pia imeharamishwa?
Jibu: Huku ni kutafuta tu upenyo. Pindi walipoambiwa kwamba leasing ni haramu wakaongezea sentesi “ahadi”. Yote hayajuzu. Yote hayo ni kutafuta tu upenyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/ujanja-katika-leasing/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)