Swali: Je, inafaa kumlipa kima kikubwa zaidi ambaye amenikopa kwa sababu amenifanyia wema?
Jibu: Ndio, ni vizuri kufanya hivo ikiwa si yeye ambaye amekuwekea sharti hiyo ya nyongeza. Ikiwa amekukopa ili baadaye uje kulipa ziada, inehesabika ni ribaa. Haina neno kuchukua mkopo mzuri kisha ukazidisha wakati wa kulipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mbora wenu ni yule ambaye anayelipa kwa uzuri.”[1]
[1] al-Bukhaariy (2606) na Muslim (1601).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Je, inafaa kumlipa kima kikubwa zaidi ambaye amenikopa kwa sababu amenifanyia wema?
Jibu: Ndio, ni vizuri kufanya hivo ikiwa si yeye ambaye amekuwekea sharti hiyo ya nyongeza. Ikiwa amekukopa ili baadaye uje kulipa ziada, inehesabika ni ribaa. Haina neno kuchukua mkopo mzuri kisha ukazidisha wakati wa kulipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mbora wenu ni yule ambaye anayelipa kwa uzuri.”[1]
[1] al-Bukhaariy (2606) na Muslim (1601).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/njia-nzuri-ya-kulipa-deni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)