Swali: Baadhi ya wachinjaji wakati wanapochinja hawamtaji Allaah. Je, inajuzu kwangu kula kwenye kichinjwa hivi?
Jibu: Vinavyochinjwa kwenye masoko ya Waislamu na kwenye miji ya waislamu, kula na usiulize. Allaah hajakukalifisha kwa hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Baadhi ya wachinjaji wakati wanapochinja hawamtaji Allaah. Je, inajuzu kwangu kula kwenye kichinjwa hivi?
Jibu: Vinavyochinjwa kwenye masoko ya Waislamu na kwenye miji ya waislamu, kula na usiulize. Allaah hajakukalifisha kwa hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/uhalali-wa-vichinjwa-kwenye-masomo-ya-waislamu/