Swali: Baadhi ya wachinjaji wakati wanapochinja hawamtaji Allaah. Je, inajuzu kwangu kula kwenye kichinjwa hivi?
Jibu: Vinavyochinjwa kwenye masoko ya Waislamu na kwenye miji ya waislamu, kula na usiulize. Allaah hajakukalifisha kwa hilo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Baadhi ya wachinjaji wakati wanapochinja hawamtaji Allaah. Je, inajuzu kwangu kula kwenye kichinjwa hivi?
Jibu: Vinavyochinjwa kwenye masoko ya Waislamu na kwenye miji ya waislamu, kula na usiulize. Allaah hajakukalifisha kwa hilo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (77) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-19.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/uhalali-wa-vichinjwa-kwenye-masomo-ya-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)