´Aqiyqah haisihi kutokana na Udhhiyah wala kinyume chake. Ikiwa siku ya kuchinja itaangukia ile siku ya saba ya mtoto, basi kinachodhihiri ni yeye achinje Udhhiyah na achinje kondoo wawili wa ´Aqiyqah. Kwa sababu kila kimoja katika viwili hivyo kina malengo yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanz-uth-Thamiyn, uk. 154
- Imechapishwa: 04/07/2022
´Aqiyqah haisihi kutokana na Udhhiyah wala kinyume chake. Ikiwa siku ya kuchinja itaangukia ile siku ya saba ya mtoto, basi kinachodhihiri ni yeye achinje Udhhiyah na achinje kondoo wawili wa ´Aqiyqah. Kwa sababu kila kimoja katika viwili hivyo kina malengo yake.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanz-uth-Thamiyn, uk. 154
Imechapishwa: 04/07/2022
https://firqatunnajia.com/udhhiyah-haitoshelezi-kutokana-na-aqiyqah/