Swali: Ikiwa uchimbaji wa kabla ya kuja Uislamu ni katika masanamu, inafaa kwa mtu akayauza?
Jibu: Anauza picha? Haijuzu. Picha zinatakiwa kuharibiwaharibiwa, masanamu yanatakiwa kuharibiwaharibiwa, na yasiuzwe, kwa sababu ni masanamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 26/04/2021
Swali: Ikiwa uchimbaji wa kabla ya kuja Uislamu ni katika masanamu, inafaa kwa mtu akayauza?
Jibu: Anauza picha? Haijuzu. Picha zinatakiwa kuharibiwaharibiwa, masanamu yanatakiwa kuharibiwaharibiwa, na yasiuzwe, kwa sababu ni masanamu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 26/04/2021
https://firqatunnajia.com/uchimbaji-wa-kabla-ya-kuja-uislamu/