Swali: Ni vipi kuoanisha kati ya Hadiyth inayosema:
“Hakika Allaah ni mzuri na anapenda vizuri.”
na:
“Uchakavu ni katika imani.”?
Jibu: Hapana vibaya mtu akifanya hivo baadhi ya nyakati kwa nia ya kujishusha ili asiingiwe na kiburi. Ni sawa akafanya hivo baadhi ya nyakati.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23406/كيف-يجمع-بين-حديث-يحب-الجمال-والبذاذة
- Imechapishwa: 12/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)